Kniha DOA Kithaka Wa Mberia

DOA

Jazyk: Svahilština
Vazba: Brožovaná
Dostupnost: Skladem u dodavatele
Odesíláme za 9-15 dnů
496
Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu...

Informace o knize

Jazyk
Svahilština
Vazba
Kniha - Brožovaná
Vydáno
2018
Stránek
130
EAN
9789966794420
ISBN
9966794425
Enbook ID
35794715
Hmotnost
109
Rozměry
127 x 178 x 8

Kompletní popis

Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Mbali na kufundisha na kufanya utafiti, anajishughulisha na uandishi wa mashairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Doa, Kifo Kisimani na Natala, Profesa Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia). Diwani nyingine zake mbili za mashairi, Mvumo wa Helikopta na Bustani ya Miungu (huenda vichwa hivi vikabadilkika), zinatarajiwa kuchapishwa mwaka

huu na mwaka ujao mtawalia.

Mohlo by vás zajímat

High Tide

Veronica Henry
327

Sinema 2

Rod Glenn
307

Psalms 1-2

Robert L. Cole
2 038

Angel Rallies Round

Paul David Graham
862

Zákaznicí kteří koupili tuto knihu koupili také

315

Her Wolf

Sapir A. Englard
208

Gumshoe

Brenna Thummler
230
314
590

Itinerarios

NOEL BURCH
480

Canoodling Out West

Shawn Verdoni
267
647
566

Long Nose Legacy

J. G. Eastman
433
877

Etxebarri

Jon Sarabia
644

Persian Moons

Tom Omidi Ph D
531